9- Muhammad bin Nuuh al-Jund Yasaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin Yahyaa bin Sa´iyd ametuhadithia: Husayn Abu ´Aliy ametuhadithia, kutoka kwa Zaa-idah, kutoka kwa Ibraahiym al-Hajariy, kutoka kwa Abul-Ahwas, kutoka kwa ´Abdullaah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huifungua milango ya mbingu katika ile theluthi ya usiku wa mwisho uliyobaki. Kisha Anashuka katika mbingu ya dunia ambapo anaikunjua mikono Yake na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Hakuna mja mwenye kuniomba nimpe?”[1]
[1] Ahmad Shaakir amesema:
“Mlolongo wa wapokezi ni dhaifu kwa sababu ya udhaifu wa al-Hajariy. Hata hivyo maana yake imepokelewa kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh.” (Musnad-ul-Imaam Ahmad” (1/447))
- Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 99
- Imechapishwa: 15/01/2018
9- Muhammad bin Nuuh al-Jund Yasaabuuriy ametuhadithia: Ahmad bin Muhammad bin Yahyaa bin Sa´iyd ametuhadithia: Husayn Abu ´Aliy ametuhadithia, kutoka kwa Zaa-idah, kutoka kwa Ibraahiym al-Hajariy, kutoka kwa Abul-Ahwas, kutoka kwa ´Abdullaah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Allaah (´Azza wa Jall) huifungua milango ya mbingu katika ile theluthi ya usiku wa mwisho uliyobaki. Kisha Anashuka katika mbingu ya dunia ambapo anaikunjua mikono Yake na kusema mpaka alfajiri inaingia: “Hakuna mja mwenye kuniomba nimpe?”[1]
[1] Ahmad Shaakir amesema:
“Mlolongo wa wapokezi ni dhaifu kwa sababu ya udhaifu wa al-Hajariy. Hata hivyo maana yake imepokelewa kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh.” (Musnad-ul-Imaam Ahmad” (1/447))
Mhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-un-Nuzuul, uk. 99
Imechapishwa: 15/01/2018
https://firqatunnajia.com/kushuka-kwa-allaah-kupitia-upokezi-wa-abdullaah-bin-masuud-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)