Swali: Ni yepi maoni sahihi kuhusu kushika kitanga cha kuume wakati wa kukaa kati ya sijda mbili?
Jibu: Hakuna kushika kitanga katika kikao kati ya sijda mbili. Kushika kitanga inakuwa wakati wa kusimama. Hapa ndipo anatakiwa kushika kiganja cha kuume kwa kiganja cha kushoto na baadaye aweke juu ya kifua na aweke ncha za vidole kwa nyuma kidogo au juu yake kwenye maunganishio.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
- Imechapishwa: 08/12/2018
Jibu: Hakuna kushika kitanga katika kikao kati ya sijda mbili. Kushika kitanga inakuwa wakati wa kusimama. Hapa ndipo anatakiwa kushika kiganja cha kuume kwa kiganja cha kushoto na baadaye aweke juu ya kifua na aweke ncha za vidole kwa nyuma kidogo au juu yake kwenye maunganishio.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
Imechapishwa: 08/12/2018
http://firqatunnajia.com/kushika-kiganja-cha-mkono-wakati-wa-kukaa-kati-ya-sijda-mbili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)