Swali: Mtu akipanda kwenye daraja au lifti imependekezwa kwake kusema “Allaahu Akbar” na anaposhuka mahala kusema “Subhaana Allaah” mbali na safari?
Jibu: Hili ni jambo zuri. Yote haya ni Dhikr na ni jambo zuri. Yote yanahusiana na kupanda na kushuka – hata kama asli yake ni katika safari.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-09.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Mtu akipanda kwenye daraja au lifti imependekezwa kwake kusema “Allaahu Akbar” na anaposhuka mahala kusema “Subhaana Allaah” mbali na safari?
Jibu: Hili ni jambo zuri. Yote haya ni Dhikr na ni jambo zuri. Yote yanahusiana na kupanda na kushuka – hata kama asli yake ni katika safari.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-09.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kusema-allaahu-akbar-mahala-pa-kupanda-na-subhaana-allaah-mahala-pa-kushuka__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)