Swali: Wakati mwingine nakuwa ndani ya ndege najiwa na mtu ambaye anakuwa na bibi kizee, mama yake, ananambia nimfuatilie mpaka atapofika kwenye uwanja wa ndege mwingine na ndugu yangu atampokea kule. Je, nimuitikie kwa mfano wa mambo kama haya?
Jibu: Hapana. Usisaidiane naye katika madhambi na uadui. Haijuzu kwako kufanya hivi. Ni haramu kwako. Ni lazima awe na Mahram.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-09.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Wakati mwingine nakuwa ndani ya ndege najiwa na mtu ambaye anakuwa na bibi kizee, mama yake, ananambia nimfuatilie mpaka atapofika kwenye uwanja wa ndege mwingine na ndugu yangu atampokea kule. Je, nimuitikie kwa mfano wa mambo kama haya?
Jibu: Hapana. Usisaidiane naye katika madhambi na uadui. Haijuzu kwako kufanya hivi. Ni haramu kwako. Ni lazima awe na Mahram.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-11-09.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kusaidia-mwanamke-katika-safari-asiyekuwa-na-mahram/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)