Swali: Je, inajuzu kusafiri na Qur-aan kuipeleka katika nchi ya makafiri kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anakataza kusafiri na Qur-aan katika ardhi (nchi) ya maadui?
Jibu: Haijuzu kusafiri kwenda na msahafu katika Bilaad-ul-Harb. Ama nchi iliyo na ahadi (mkataba) na Waislamu, hakuna neno kusafiri kwenda na msahafu na msahafu huu uwe mikononi mwa mwenye nao na asimpe kafiri. Haijuzu kumpa msahafu kafiri hata ikiwa ni katika nchi ya Waislamu. Kafiri anachoweza ni kusikilizishwa Qur-aan:
وَإِنْ أَحَدٌ مِّنَ الْمُشْرِكِينَ اسْتَجَارَكَ فَأَجِرْهُ حَتَّىٰ يَسْمَعَ كَلَامَ اللَّـهِ |
“Na ikiwa mmoja wa washirikina akikuomba umlinde, basi mlinde mpaka asikie Maneno ya Allaah (Qur-aan).” (09:06) |
Usimpe msahafu, sawa ikiwa ni katika nchi ya kikafiri au ya Kiislamu mpaka wakati ataposilimu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (51) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-05-27.mp3
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Je, inajuzu kusafiri na Qur-aan kuipeleka katika nchi ya makafiri kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anakataza kusafiri na Qur-aan katika ardhi (nchi) ya maadui?
Jibu: Haijuzu kusafiri kwenda na msahafu katika Bilaad-ul-Harb. Ama nchi iliyo na ahadi (mkataba) na Waislamu, hakuna neno kusafiri kwenda na msahafu na msahafu huu uwe mikononi mwa mwenye nao na asimpe kafiri. Haijuzu kumpa msahafu kafiri hata ikiwa ni katika nchi ya Waislamu. Kafiri anachoweza ni kusikilizishwa Qur-aan:
وَإِنْ أَحَدٌ مِّنَ الْمُشْرِكِينَ اسْتَجَارَكَ فَأَجِرْهُ حَتَّىٰ يَسْمَعَ كَلَامَ اللَّـهِ
“Na ikiwa mmoja wa washirikina akikuomba umlinde, basi mlinde mpaka asikie Maneno ya Allaah (Qur-aan).” (09:06)
Usimpe msahafu, sawa ikiwa ni katika nchi ya kikafiri au ya Kiislamu mpaka wakati ataposilimu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (51) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-05-27.mp3
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/kusafiri-na-qur-aan-katika-nchi-za-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)