Swali: Mimi ni mfanya biashara ambaye ninaishi Morocco na nataka kusafiri kwenda Ufaransa kwa ajili ya biashara. Mke wangu ni mjamzito na wakati fulani anapoteza fahamu na siwezi kumwacha Morocco peke yake na hana yeyote. Je, inajuzu kwangu kusafiri naye kwenda katika miji ya kikafiri?
Jibu: Hakuna neno. Ikiwa mambo ni kama ulivosema, ya kwamba anahitajia mtu wa kuwa pamoja naye na kumsaidia na kwamba anaweza kupatwa na madhara iwapo atabaki peke yake, safiri naye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 29/06/2018
Swali: Mimi ni mfanya biashara ambaye ninaishi Morocco na nataka kusafiri kwenda Ufaransa kwa ajili ya biashara. Mke wangu ni mjamzito na wakati fulani anapoteza fahamu na siwezi kumwacha Morocco peke yake na hana yeyote. Je, inajuzu kwangu kusafiri naye kwenda katika miji ya kikafiri?
Jibu: Hakuna neno. Ikiwa mambo ni kama ulivosema, ya kwamba anahitajia mtu wa kuwa pamoja naye na kumsaidia na kwamba anaweza kupatwa na madhara iwapo atabaki peke yake, safiri naye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 29/06/2018
https://firqatunnajia.com/kusafiri-na-mke-mjamzito-kwenda-katika-mji-wa-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)