Swali: Inajuzu kutupa mawe tarehe 13 Dhul-Hijjah, siku ya Tashriyq, kabla ya jua kupindukia na kukawa kuna hukumu maalum kwa ajili ya siku hii?
Jibu: Kuna wanachuoni ambao wanaonelea hivo. Hata hivyo dalili zinasema kuwa mtu anatakiwa kurusha mawe baada ya jua kupindukia kisha ndio aende zake. Huu ndio mwongozo wa kinabii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
- Imechapishwa: 17/12/2017
Swali: Inajuzu kutupa mawe tarehe 13 Dhul-Hijjah, siku ya Tashriyq, kabla ya jua kupindukia na kukawa kuna hukumu maalum kwa ajili ya siku hii?
Jibu: Kuna wanachuoni ambao wanaonelea hivo. Hata hivyo dalili zinasema kuwa mtu anatakiwa kurusha mawe baada ya jua kupindukia kisha ndio aende zake. Huu ndio mwongozo wa kinabii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (72) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighassat%20-11-01-1439h.mp3
Imechapishwa: 17/12/2017
https://firqatunnajia.com/kurusha-mawe-masiku-ya-tashriyq-inatakiwa-iwe-baada-jua-kupindukia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)