Swali: Je, inafaa kuzipunguza ndevu…
Jibu: Ndevu sio nzito. Kwa hivyo hazihitajii kupunguzwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuziacha, kuzirefusha, kuzifuga na kuzikirimu. Sio nzito mpaka eti uzipunguze uzito. Hatujaona mtu ambaye alilemewa au kuanguka kwa sababu ya ndevu zake. Hatujapatapo kuona kitu hicho.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 02/05/2021
Swali: Je, inafaa kuzipunguza ndevu…
Jibu: Ndevu sio nzito. Kwa hivyo hazihitajii kupunguzwa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha kuziacha, kuzirefusha, kuzifuga na kuzikirimu. Sio nzito mpaka eti uzipunguze uzito. Hatujaona mtu ambaye alilemewa au kuanguka kwa sababu ya ndevu zake. Hatujapatapo kuona kitu hicho.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 02/05/2021
https://firqatunnajia.com/kupunguza-uzito-ndevu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)