Swali: Inajuzu kwa mtu akaacha wasia vitolewe viungo vyake baada ya kufa?
Jibu: Hapana. Viungo sio mali yake anayoiachia wasia baada ya kufa kwake. Haijuzu kufanya hivi. Hata hivyo ni sawa kwa aliye hai kupeana kiungo ikiwa hadhuriki kwa kufanya hivo na hilo likawa linamnufaisha yule mgonjwa. Haijuzu kuchukua viungo vya maiti. Atolewe viungo kama gari? Haijuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
- Imechapishwa: 16/07/2017
Swali: Inajuzu kwa mtu akaacha wasia vitolewe viungo vyake baada ya kufa?
Jibu: Hapana. Viungo sio mali yake anayoiachia wasia baada ya kufa kwake. Haijuzu kufanya hivi. Hata hivyo ni sawa kwa aliye hai kupeana kiungo ikiwa hadhuriki kwa kufanya hivo na hilo likawa linamnufaisha yule mgonjwa. Haijuzu kuchukua viungo vya maiti. Atolewe viungo kama gari? Haijuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/27-06-1438h.mp3
Imechapishwa: 16/07/2017
https://firqatunnajia.com/kupeana-viungo-baada-ya-kufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)