Swali: Je, imethibiti katika Sunnah kupeana mikono na kutoa Salaam wakati wa kuachana au wakati wa kutaka kuachana?
Jibu: Kuhusu wakati wa kuachana hili halikuthibiti. Anachotakiwa ni kutoa salamu tu. Lakini kusema kuwa ni lazima apeana mikono, sikumbuki kitu [juu ya suala hili].
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-24_0.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, imethibiti katika Sunnah kupeana mikono na kutoa Salaam wakati wa kuachana au wakati wa kutaka kuachana?
Jibu: Kuhusu wakati wa kuachana hili halikuthibiti. Anachotakiwa ni kutoa salamu tu. Lakini kusema kuwa ni lazima apeana mikono, sikumbuki kitu [juu ya suala hili].
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (33) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-10-24_0.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/kupeana-mikono-wakati-wa-kuachana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)