Swali: Ni ipi hukumu ya kupeana mikono, kukumbatiana na kupeana hongera baada ya swalah ya ´Iyd?
Jibu: Mambo haya hayana neno. Kwa sababu watu hawayachukulii kwa njia ya kuabudu na kujikurubisha kwa Allaah (´Azza wa Jall). Wanayachukulia kwa njia ya desturi, ikramu na heshima. Midhali ni desturi hakuna katika Shari´ah kitu kinachoyakataza hayo. Msingi katika jambo hilo ni kuruhusu. Kama ilivosemwa:
الأصل في الأشياء حل ومنع عبادة إلا بإذن الشارع
“Msingi katika mambo ni uhalali na katika ´ibaadah kukomeka isipokuwa kwa idhini kutoka katika Shari´ah.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/209)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kupeana mikono, kukumbatiana na kupeana hongera baada ya swalah ya ´Iyd?
Jibu: Mambo haya hayana neno. Kwa sababu watu hawayachukulii kwa njia ya kuabudu na kujikurubisha kwa Allaah (´Azza wa Jall). Wanayachukulia kwa njia ya desturi, ikramu na heshima. Midhali ni desturi hakuna katika Shari´ah kitu kinachoyakataza hayo. Msingi katika jambo hilo ni kuruhusu. Kama ilivosemwa:
الأصل في الأشياء حل ومنع عبادة إلا بإذن الشارع
“Msingi katika mambo ni uhalali na katika ´ibaadah kukomeka isipokuwa kwa idhini kutoka katika Shari´ah.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/209)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/kupeana-mikono-na-kukumbatiana-baada-ya-swalah-ya-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)