Swali: Je, imewekwa katika Shari´ah kupangusa shingo wakati wa kupangusa kichwa wakati wa kutawadha?
Jibu: Haifai. Hii ni Bid´ah. Kupangusa shingo ni Bid´ah:
وَامْسَحُوا بِرُءُوسِكُمْ وَأَرْجُلَكُمْ
“… na panguseni vichwa vyenu na [osheni] miguu yenu… “ (05:03)
Hakusema:
وَامْسَحُواْ بِرُؤُوسِكُمْ
“… na panguseni vichwa vyenu.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amebainisha namna ya kupangusa; kuweka mikono miwili iliyolowa maji kuanzia kwenye maoteo ya nywele, kisha unaivuta mpaka nyuma kwenye shingo kisha unarudi tena mwanzo kwenye maoteo ya nywele.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 14/10/2018
Swali: Je, imewekwa katika Shari´ah kupangusa shingo wakati wa kupangusa kichwa wakati wa kutawadha?
Jibu: Haifai. Hii ni Bid´ah. Kupangusa shingo ni Bid´ah:
وَامْسَحُوا بِرُءُوسِكُمْ وَأَرْجُلَكُمْ
“… na panguseni vichwa vyenu na [osheni] miguu yenu… “ (05:03)
Hakusema:
وَامْسَحُواْ بِرُؤُوسِكُمْ
“… na panguseni vichwa vyenu.”
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amebainisha namna ya kupangusa; kuweka mikono miwili iliyolowa maji kuanzia kwenye maoteo ya nywele, kisha unaivuta mpaka nyuma kwenye shingo kisha unarudi tena mwanzo kwenye maoteo ya nywele.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 14/10/2018
https://firqatunnajia.com/kupangusa-shingo-wakati-wa-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)