Swali: Kuna mtu anataka kwenda Juddah kumtembelea mgonjwa. Anafikiria kufanya ´Umrah endapo atapata fursa. Atahirimia wapi huyu?
Jibu: Atahirimia pale atapoazimia kufanya ´Umrah. Inaweza kuwa Juddah, inaweza kuwa nje ya Haram. Atahirimia pale atapoazimia kufanya ´Umrah. Ndio miqati yake. Hivyo ndivyo alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi alipotaja miqati mbalimbali:
“Atayekuwa mbali na wao afanye hivo pale ataponuia.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
- Imechapishwa: 01/01/2017
Swali: Kuna mtu anataka kwenda Juddah kumtembelea mgonjwa. Anafikiria kufanya ´Umrah endapo atapata fursa. Atahirimia wapi huyu?
Jibu: Atahirimia pale atapoazimia kufanya ´Umrah. Inaweza kuwa Juddah, inaweza kuwa nje ya Haram. Atahirimia pale atapoazimia kufanya ´Umrah. Ndio miqati yake. Hivyo ndivyo alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi alipotaja miqati mbalimbali:
“Atayekuwa mbali na wao afanye hivo pale ataponuia.”
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
Imechapishwa: 01/01/2017
https://firqatunnajia.com/kupanga-umrah-baada-ya-matembezi-ya-juddah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)