Swali 424: Mwenye kuota ilihali amefunga swawm yake ni sahihi?
Jibu: Ndio, funga yake ni sahihi. Hakika kuota hakufunguzi swawm. Kwa sababu mtu hakufanya kwa kutaka kwake mwenyewe. Kalamu imenyanyuliwa kwake katika hali ya kulala kwake.
Katika mnasaba huu napenda vilevile kuzindua yale yanayofanywa na baadhi ya watu katika wakati huu ambapo watu wengi wanakesha nyusiku za Ramadhaan. Pengine wanakesha juu ya jambo linalowadhuru na haliwanufaishi. Kisha wanatumia mchana wao wote kulala. Hili ni jambo lisilotakikana. Kinachotakikana ni kwamba mtu aifanye funga yake kuwa ni sehemu ya utiifu, Adhkaar, kusoma Qur-aan na mengineyo katika mambo yanayomkurubisha kwa Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 480
- Imechapishwa: 11/05/2019
Swali 424: Mwenye kuota ilihali amefunga swawm yake ni sahihi?
Jibu: Ndio, funga yake ni sahihi. Hakika kuota hakufunguzi swawm. Kwa sababu mtu hakufanya kwa kutaka kwake mwenyewe. Kalamu imenyanyuliwa kwake katika hali ya kulala kwake.
Katika mnasaba huu napenda vilevile kuzindua yale yanayofanywa na baadhi ya watu katika wakati huu ambapo watu wengi wanakesha nyusiku za Ramadhaan. Pengine wanakesha juu ya jambo linalowadhuru na haliwanufaishi. Kisha wanatumia mchana wao wote kulala. Hili ni jambo lisilotakikana. Kinachotakikana ni kwamba mtu aifanye funga yake kuwa ni sehemu ya utiifu, Adhkaar, kusoma Qur-aan na mengineyo katika mambo yanayomkurubisha kwa Allaah (Tabaarak wa Ta´ala).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 480
Imechapishwa: 11/05/2019
https://firqatunnajia.com/kuota-wakati-wa-kufunga-na-nasaha-kwa-wenye-kukesha-nyusiku-za-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)