Swali: Baadhi ya watu hawaoshi vitanga vyao vya mikono pamoja na mikono bali wanatosheka kuviosha [hivyo vitanga vya mikono] pale mara ya kwanza [wanapoosha mikono] na hawavioshi pamoja na mikono.
Jibu: Hapana. Kuviosha mara tatu kabla ya kuanza kutawadha imependekezwa. Lakini baada ya kuosha uso anawajibika kuosha mikono yake miwili kuanza mwanzoni mwa vidole mpaka kwenye kisugudi.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 14/10/2018
Swali: Baadhi ya watu hawaoshi vitanga vyao vya mikono pamoja na mikono bali wanatosheka kuviosha [hivyo vitanga vya mikono] pale mara ya kwanza [wanapoosha mikono] na hawavioshi pamoja na mikono.
Jibu: Hapana. Kuviosha mara tatu kabla ya kuanza kutawadha imependekezwa. Lakini baada ya kuosha uso anawajibika kuosha mikono yake miwili kuanza mwanzoni mwa vidole mpaka kwenye kisugudi.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 14/10/2018
https://firqatunnajia.com/kuosha-mikoni-ni-lazima-na-vitanga-vya-mikono-imependekezwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)