Swali: Mawasiliano endelevu yanazingatiwa ni katika kuunga kizazi?
Jibu: Ndio, kunazingatiwa ni kuwaunga ndugu wote.
Swali: Kuongeza umri kunazingatiwa ni jambo la uhakika? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yule anayependa akunjuliwe riziki yake na arufushiwe maisha yake basi aunge kizazi chake.”
Jibu: Ndio, inakuwa hivo. Anaongezewa kwa kubarikiwa na anaongezewa miaka. Pengine jambo hilo lilikuwa limetundikwa. Allaah anaweza kumwandikia mtu miaka mia moja kwa sababu ya kuwaunga jamaa zake, mwingine akaandikiwa miaka thamanini kwa sababu ya kuwaunga jamaa zake na mwingine akaandikiwa miaka sitini kwa sababu ya kuwaunga jamaa zake. Inakuwa ni makadirio yaliyoning´inizwa juu ya sababu hizi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21713/حكم-الواصل-المكافى-ومعنى-زيادة-العمر
- Imechapishwa: 24/09/2022
Swali: Mawasiliano endelevu yanazingatiwa ni katika kuunga kizazi?
Jibu: Ndio, kunazingatiwa ni kuwaunga ndugu wote.
Swali: Kuongeza umri kunazingatiwa ni jambo la uhakika? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Yule anayependa akunjuliwe riziki yake na arufushiwe maisha yake basi aunge kizazi chake.”
Jibu: Ndio, inakuwa hivo. Anaongezewa kwa kubarikiwa na anaongezewa miaka. Pengine jambo hilo lilikuwa limetundikwa. Allaah anaweza kumwandikia mtu miaka mia moja kwa sababu ya kuwaunga jamaa zake, mwingine akaandikiwa miaka thamanini kwa sababu ya kuwaunga jamaa zake na mwingine akaandikiwa miaka sitini kwa sababu ya kuwaunga jamaa zake. Inakuwa ni makadirio yaliyoning´inizwa juu ya sababu hizi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21713/حكم-الواصل-المكافى-ومعنى-زيادة-العمر
Imechapishwa: 24/09/2022
https://firqatunnajia.com/kuongezewa-miaka-ya-kuishi-kwa-sababu-ya-kuwaunga-ndugu-na-jamaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)