Swali: Je, inajuzu kwa mtu kuzungumza na rafiki yake ikiwa pembezoni mwao kuna ambaye anasoma Qur-aan kwa sauti ya kusikika?

Jibu: Ikiwa wanashawishana… Msomaji asipaze sauti yake na kumshawishi aliye pembezoni mwake na kadhalika wenye kuzungumza wasipaze sauti zao na kuwashawishi wenye kuswali, wenye kusoma Qur-aan na wenye kufanya Dhikr walio pembezoni mwao.

  • Mfasiri: Firqatunnajia.com