Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza kwa simu wakati wa kufanya Twawaaf?
Jibu: Hakuna neno:
“Kufanya Twawaaf kwenye nyumba ni kama swalah mbali na kwamba mnazungumza ndani yake.”[1]
Inafaa kuzungumza ndani yake, lakini mtu asikithirishe maneno pasi na haja.
[1] Ibn Hibbaan (3836).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
- Imechapishwa: 27/07/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuzungumza kwa simu wakati wa kufanya Twawaaf?
Jibu: Hakuna neno:
“Kufanya Twawaaf kwenye nyumba ni kama swalah mbali na kwamba mnazungumza ndani yake.”[1]
Inafaa kuzungumza ndani yake, lakini mtu asikithirishe maneno pasi na haja.
[1] Ibn Hibbaan (3836).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (24) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-20-02-1435.mp3
Imechapishwa: 27/07/2020
https://firqatunnajia.com/kuongea-kwa-simu-wakati-wa-twawaaf/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)