Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa kwenye makaburi ya mawalii kwa lengo la kuitikiwa du´aa?
Jibu: Hii ni miongoni mwa Bid´ah. Kuomba du´aa na kuswali karibu na makaburi ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika shirki. Sunnah ni mtu atembelee makaburi, awatolee salamu na awaombee du´aa kisha aondoke. Kama anataka kujiombea du´aa mwenyewe basi jiombee maeneo mengine. Kuomba du´aa, kusoma Qur-aan na kuswali maeneo ya makaburi ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika shirki na ni miongoni mwa Bid´ah.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
- Imechapishwa: 14/11/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuomba du´aa kwenye makaburi ya mawalii kwa lengo la kuitikiwa du´aa?
Jibu: Hii ni miongoni mwa Bid´ah. Kuomba du´aa na kuswali karibu na makaburi ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika shirki. Sunnah ni mtu atembelee makaburi, awatolee salamu na awaombee du´aa kisha aondoke. Kama anataka kujiombea du´aa mwenyewe basi jiombee maeneo mengine. Kuomba du´aa, kusoma Qur-aan na kuswali maeneo ya makaburi ni miongoni mwa njia zinazopelekea katika shirki na ni miongoni mwa Bid´ah.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (23)
Imechapishwa: 14/11/2021
https://firqatunnajia.com/kuomba-duaa-kwenye-makaburi-ya-mawalii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)