Swali: Nimegundua baadhi ya waswaliji pindi muadhini anapomaliza kukimu swalah basi hunyanyua mikono yao na huomba du´aa na hayo wanayafanya kabla ya Takbiyrat-ul-Ihraam. Je, haya yamepokelewa au hapana?
Jibu: Hayana msingi. Haikupokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba alikuwa anaomba kitu baina ya adhaana na Iqaamah. Wala haikuhifadhiwa kutoka kwake kwamba alinyanyua mikono katika maeneo haya. Bali haitakikani kwa yeyote kufanya hivo. Ni kitendo kinachokwenda kinyume na Sunnah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/346)
- Imechapishwa: 19/09/2021
Swali: Nimegundua baadhi ya waswaliji pindi muadhini anapomaliza kukimu swalah basi hunyanyua mikono yao na huomba du´aa na hayo wanayafanya kabla ya Takbiyrat-ul-Ihraam. Je, haya yamepokelewa au hapana?
Jibu: Hayana msingi. Haikupokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwamba alikuwa anaomba kitu baina ya adhaana na Iqaamah. Wala haikuhifadhiwa kutoka kwake kwamba alinyanyua mikono katika maeneo haya. Bali haitakikani kwa yeyote kufanya hivo. Ni kitendo kinachokwenda kinyume na Sunnah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/346)
Imechapishwa: 19/09/2021
https://firqatunnajia.com/kuomba-duaa-baada-ya-kumaliza-kukimu-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)