Swali: Kuna wanafunzi ambao wanapuuza kuoa na wanasema kuwa kuoa kunamshughulisha mtu na kusoma na kwamba wanawake wengi hii leo hawamsaidii mwanafunzi juu ya kutafuta elimu na badala yake wanamshughulisha. Wanasema kuwa pamoja na kueneza kwa fitina katika kila sehemu hawawezi kutumbukia katika haramu. Una ushauri gani katika hili?
Jibu: Kuoa hakuzuii na kutafuta elimu. Kinyume chake kunamsaidia mtu kutafuta elimu. Kwa sababu mtu anapata kutulia kwa kuoa na anakuwa na nafasi ya kutafuta elimu. Kwa hivyo kuoa kunamsaidia mtu na kujifunza elimu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (74) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-25-01-1439H-01.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2017
Swali: Kuna wanafunzi ambao wanapuuza kuoa na wanasema kuwa kuoa kunamshughulisha mtu na kusoma na kwamba wanawake wengi hii leo hawamsaidii mwanafunzi juu ya kutafuta elimu na badala yake wanamshughulisha. Wanasema kuwa pamoja na kueneza kwa fitina katika kila sehemu hawawezi kutumbukia katika haramu. Una ushauri gani katika hili?
Jibu: Kuoa hakuzuii na kutafuta elimu. Kinyume chake kunamsaidia mtu kutafuta elimu. Kwa sababu mtu anapata kutulia kwa kuoa na anakuwa na nafasi ya kutafuta elimu. Kwa hivyo kuoa kunamsaidia mtu na kujifunza elimu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (74) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-25-01-1439H-01.mp3
Imechapishwa: 11/11/2017
https://firqatunnajia.com/kuoa-kunamsaidia-mwanafunzi-kujifunza-elimu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)