Swali: Je, anapata dhambi yule ambaye ataielekeza miguu yake kuuelekea msahafu kwa kukusudia au pasi na kukusudia? Tumesikia kuwa Shaykh Muhammad bin ´Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) anamkufurisha mwenye kufanya hivo kwa makusudi. Je, haya ni kweli?
Jibu: Ikiwa malengo yake ya kuelekeza ni kuyadharau maneno ya Allaah basi anakufuru kwa lengo hilo. Lakini ambaye anafanya hivo pasi na kukusudia au anafanya hivo ili ajipumzishe basi huyo hakukusudia na hivyo hakufuru.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
- Imechapishwa: 20/03/2021
Swali: Je, anapata dhambi yule ambaye ataielekeza miguu yake kuuelekea msahafu kwa kukusudia au pasi na kukusudia? Tumesikia kuwa Shaykh Muhammad bin ´Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) anamkufurisha mwenye kufanya hivo kwa makusudi. Je, haya ni kweli?
Jibu: Ikiwa malengo yake ya kuelekeza ni kuyadharau maneno ya Allaah basi anakufuru kwa lengo hilo. Lakini ambaye anafanya hivo pasi na kukusudia au anafanya hivo ili ajipumzishe basi huyo hakukusudia na hivyo hakufuru.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (19)
Imechapishwa: 20/03/2021
https://firqatunnajia.com/kunyoosha-miguu-kuelekezea-msahafu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)