Swali: Kunyoa nywele za kichwani mbali na Hajj na ´Umrah kunazingatiwa kuwa kumekatazwa na ni kujifananisha na Khawaarij?
Jibu: Hapana, hata siku moja. Kunyoa kichwa hakuna ubaya wowote mbali na Hajj na ´Umrah. Anaweza kunyoa kichwa chake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nyoa zote au ziache zote.”
Hakuna neno kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 25/10/2017
Swali: Kunyoa nywele za kichwani mbali na Hajj na ´Umrah kunazingatiwa kuwa kumekatazwa na ni kujifananisha na Khawaarij?
Jibu: Hapana, hata siku moja. Kunyoa kichwa hakuna ubaya wowote mbali na Hajj na ´Umrah. Anaweza kunyoa kichwa chake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Nyoa zote au ziache zote.”
Hakuna neno kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 25/10/2017
https://firqatunnajia.com/kunyoa-kichwa-mbali-na-hajj-na-umrah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)