Kunyanyua na kuomba du´aa na imamu baada ya swalah za faradhi

Swali: Je, tumfuate Imamu akinyanyua mikono mwisho wa kila Swalah au mahala ambapo hapakuthibiti dalili ya kunyanyua?

Jibu: Hapana. Baada ya (Swalah za) faradhi hakukuthibiti kwamba kunanyanyuliwa mikono. Ama baada ya Naafilah hakuna neno.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-27.mp3
  • Imechapishwa: 15/11/2014