Swali: Benki imenunua nyumba na kunikodeshea. Baada ya miaka kadhaa nyumba hiyo inakuwa milki yangu.
Jibu: Ni kukodi kwa muda mrefu. Haijuzu. Ima benki ikuuzie nyumba hiyo au wakukodishie. Haijuzu kukodisha na kuuza na wakati huo huo kwa kuwepo kwa masharti.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
- Imechapishwa: 25/05/2018
Swali: Benki imenunua nyumba na kunikodeshea. Baada ya miaka kadhaa nyumba hiyo inakuwa milki yangu.
Jibu: Ni kukodi kwa muda mrefu. Haijuzu. Ima benki ikuuzie nyumba hiyo au wakukodishie. Haijuzu kukodisha na kuuza na wakati huo huo kwa kuwepo kwa masharti.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
Imechapishwa: 25/05/2018
https://firqatunnajia.com/kununua-nyumba-baada-ya-kukodi-kwa-muda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)