Swali: Inajuzu kununua dhahabu kwa kadi ya benki?
Jibu: Dhahabu ikinunuliwa kwa pesa ya kawaida basi ni lazima kila mmoja achukue chake kabla hawajatengana. Mnunuzi achenchi pesa hizi na alipe kwa dirhamu na hivyo tatizo litakuwa limeondoka. Njia nyingine yule mnunuzi anaweza kuwasiliana na benki yake akawaomba watoe pesa kutoka benki yake na kuweka kwenye akaunti ya yule muuzaji. Hapo yule muuzaji atakuwa amempa dhahabu yule mnunuzi na amepokea pesa yake kwa njia ya kuwekewa ndani ya akaunti yake hali ya kuwa bado hawajatengana.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (57) http://binothaimeen.net/content/1300
- Imechapishwa: 19/10/2019
Swali: Inajuzu kununua dhahabu kwa kadi ya benki?
Jibu: Dhahabu ikinunuliwa kwa pesa ya kawaida basi ni lazima kila mmoja achukue chake kabla hawajatengana. Mnunuzi achenchi pesa hizi na alipe kwa dirhamu na hivyo tatizo litakuwa limeondoka. Njia nyingine yule mnunuzi anaweza kuwasiliana na benki yake akawaomba watoe pesa kutoka benki yake na kuweka kwenye akaunti ya yule muuzaji. Hapo yule muuzaji atakuwa amempa dhahabu yule mnunuzi na amepokea pesa yake kwa njia ya kuwekewa ndani ya akaunti yake hali ya kuwa bado hawajatengana.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (57) http://binothaimeen.net/content/1300
Imechapishwa: 19/10/2019
https://firqatunnajia.com/kununua-dhahabu-kwa-njia-ya-kadi-ya-benki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)