Kuna Suurah maalum katika swalah ya Istikhaarah?

Swali: Je, imethibiti kuwa kunasomwa Suurah maalum katika swalah ya Istikhaarah?

Jibu: Sijui lolote kuhusu hili. Jambo hili ni pana. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuweka Suurah maalum.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/montaqo-17-10-1434_1.mp3
  • Imechapishwa: 19/09/2020