Swali: Je, kuna dalili katika Sunnah inayokataza ukubwa wa mahari?
Jibu: Kakataza ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) mahari makubwa. Bora zaidi mahari yawe madogo kwa kufuata Sunnah. Hakika ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) anasema:
“Hakuzidisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika mahari ya mke wake wala mabanati zake zaidi ya dirhamu tano.” (Hadiyth hii imepokelewa na Muslim)
Uongofu bora ni uongofu wa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Atakayezidisha na akawa anaweza hilo hakuna ubaya. Kama alivyosema Allaah:
“Mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, na hali mmoja wao mmempa chungu ya mali, basi msichukue katika hayo kitu chochote.” (04:20)
Nukta muhimu:
”Na hali mmoja wao mmempa chungu ya mali.” (04:20)
Ikiwa anaweza hakuna ubaya. Wala watu hawahukumiwi hukumu moja, fulani alitoa kiwango fulani nawe toa kiwango fulani. Fulani anaweza kuwa na uwezo, na huyu mwengine akawa hana uwezo.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=4750
- Imechapishwa: 22/09/2020
Swali: Je, kuna dalili katika Sunnah inayokataza ukubwa wa mahari?
Jibu: Kakataza ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) mahari makubwa. Bora zaidi mahari yawe madogo kwa kufuata Sunnah. Hakika ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) anasema:
“Hakuzidisha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika mahari ya mke wake wala mabanati zake zaidi ya dirhamu tano.” (Hadiyth hii imepokelewa na Muslim)
Uongofu bora ni uongofu wa Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Atakayezidisha na akawa anaweza hilo hakuna ubaya. Kama alivyosema Allaah:
“Mkitaka kubadilisha mke mahali pa mke, na hali mmoja wao mmempa chungu ya mali, basi msichukue katika hayo kitu chochote.” (04:20)
Nukta muhimu:
”Na hali mmoja wao mmempa chungu ya mali.” (04:20)
Ikiwa anaweza hakuna ubaya. Wala watu hawahukumiwi hukumu moja, fulani alitoa kiwango fulani nawe toa kiwango fulani. Fulani anaweza kuwa na uwezo, na huyu mwengine akawa hana uwezo.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=4750
Imechapishwa: 22/09/2020
https://firqatunnajia.com/kuna-dalili-inayokataza-mahari-yasiwe-makubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)