Swali: Ni ipi hukumu ya kuitwa majina yafuatayo; Abraar, Malaak, Iymaan, Jibriyl na Janaa?
Jibu: Asijiite kwa jina la Abraar, Malaak, Iymaan na Jibriyl. Kuhusu Janaa sijui maana yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Manaahiy al-Lafdhwiyyah, uk. 03
- Imechapishwa: 01/07/2022