Swali: Ni ipi hukumu mume akimjamii mke wake na yeye ana nifasi pasina kukusudia kwa kudhania kwamba amekwishatwaharika? Na ni ipi hukumu ikiwa atamjamii kwa kukusudia pia?
Jibu: Hukumu ni kwamba amuombe Allaah msamaha na atubu Kwake. Juu yake ana tawbah na Istighfaar.
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.njza.net/Default_ar.aspx?ID=98
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu mume akimjamii mke wake na yeye ana nifasi pasina kukusudia kwa kudhania kwamba amekwishatwaharika? Na ni ipi hukumu ikiwa atamjamii kwa kukusudia pia?
Jibu: Hukumu ni kwamba amuombe Allaah msamaha na atubu Kwake. Juu yake ana tawbah na Istighfaar.
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.njza.net/Default_ar.aspx?ID=98
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/kumwingilia-mke-wakati-wa-nifasi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)