Swali: Inajuzu kwa mtu kumwambia ambaye amemfanyia wema na anataka kumshukuru: “Shukurani za dhati.”?
Jibu: Mshukuru kwa kiasi cha wema:
وَوَصَّيْنَا الْإِنسَانَ بِوَالِدَيْهِ حَمَلَتْهُ أُمُّهُ وَهْنًا عَلَىٰ وَهْنٍ وَفِصَالُهُ فِي عَامَيْنِ أَنِ اشْكُرْ لِي وَلِوَالِدَيْكَ إِلَيَّ الْمَصِيرُ
“Na Tumemuusia mwanaadamu wazazi wake wawili. Mama yake ameibeba mimba yake akimzidishia udhaifu juu ya udhaifu, na [kumnyonyesha] kuacha kwake ziwa katika miaka mwili ya kwamba: Unishukuru Mimi na wazazi wako – Kwangu ndio marejeo ya mwisho.” (23:14)
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hamshukuru Allaah yule asiyewashukuru watu.”
Mshukuru kwa kiasi cha wema wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13382
- Imechapishwa: 29/04/2018
Swali: Inajuzu kwa mtu kumwambia ambaye amemfanyia wema na anataka kumshukuru: “Shukurani za dhati.”?
Jibu: Mshukuru kwa kiasi cha wema:
وَوَصَّيْنَا الْإِنسَانَ بِوَالِدَيْهِ حَمَلَتْهُ أُمُّهُ وَهْنًا عَلَىٰ وَهْنٍ وَفِصَالُهُ فِي عَامَيْنِ أَنِ اشْكُرْ لِي وَلِوَالِدَيْكَ إِلَيَّ الْمَصِيرُ
“Na Tumemuusia mwanaadamu wazazi wake wawili. Mama yake ameibeba mimba yake akimzidishia udhaifu juu ya udhaifu, na [kumnyonyesha] kuacha kwake ziwa katika miaka mwili ya kwamba: Unishukuru Mimi na wazazi wako – Kwangu ndio marejeo ya mwisho.” (23:14)
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hamshukuru Allaah yule asiyewashukuru watu.”
Mshukuru kwa kiasi cha wema wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13382
Imechapishwa: 29/04/2018
https://firqatunnajia.com/kumwambia-mtu-shukurani-za-dhati/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)