Swali: Naweza kumpatia mtu mwingine pesa amhijie baba yangu aliyefariki?
Jibu: Ndio, haina neno kufanya hivo. Hata hivyo lengo la yule mwenye kuhiji isiwe pesa. Ikiwa lengo lake ni pesa hajj yake haisihi. Ama ikiwa anatumia pesa ili zimsaidie wakati wa hajj, amnufaishe yule maiti na alipwe kwa kusimama zile sehemu za ´ibaadah na kuswali kwenye msikiti Mtakatifu wa Makkah, ni sawa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
- Imechapishwa: 25/05/2018
Swali: Naweza kumpatia mtu mwingine pesa amhijie baba yangu aliyefariki?
Jibu: Ndio, haina neno kufanya hivo. Hata hivyo lengo la yule mwenye kuhiji isiwe pesa. Ikiwa lengo lake ni pesa hajj yake haisihi. Ama ikiwa anatumia pesa ili zimsaidie wakati wa hajj, amnufaishe yule maiti na alipwe kwa kusimama zile sehemu za ´ibaadah na kuswali kwenye msikiti Mtakatifu wa Makkah, ni sawa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (13) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-09.mp3
Imechapishwa: 25/05/2018
https://firqatunnajia.com/kumuwakilisha-mwingine-amhijie-baba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)