Swali: Je, inajuzu kumuuliza swali Khatwiyb ilihali anatoa Khutbah siku ya Ijumaa?
Jibu: Kumuuliza swali la kielimu hakuna neno. Ama kumuuliza swali nje ya elimu katika mambo ya kidunia, hili halijuzu isipokuwa wakati wa dharurah. Kama mfano wa kisa cha yule aliyemuomba Mtume awaombee mvua. Hii ni dharurah, ni kitu cha dharurah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
- Imechapishwa: 10/11/2014
Swali: Je, inajuzu kumuuliza swali Khatwiyb ilihali anatoa Khutbah siku ya Ijumaa?
Jibu: Kumuuliza swali la kielimu hakuna neno. Ama kumuuliza swali nje ya elimu katika mambo ya kidunia, hili halijuzu isipokuwa wakati wa dharurah. Kama mfano wa kisa cha yule aliyemuomba Mtume awaombee mvua. Hii ni dharurah, ni kitu cha dharurah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1430-5-29.mp3
Imechapishwa: 10/11/2014
https://firqatunnajia.com/kumuuliza-swali-khatwiyb-wakati-wa-khutbah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)