Swali: Je, inasuniwa kwa muislamu kumuuliza muislamu mwenzake juu ya chakula alichomletea?
Jibu: Msingi juu ya chakula cha muislamu ni kwamba ni halali. Lakini akitia shaka juu ya chumo lake au akamtuhumu kutoitakasa dini yake na hayo yakatambulika na kuhifadhiwa kutoka kwake, basi katika hali hiyo muulize na hakuna kikwazo. Vinginevyo msingi ni kwamba chakula cha muislamu ni halali.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://saif.af.org.sa/sites/default/files/fatwa4.mp3
- Imechapishwa: 16/09/2022
Swali: Je, inasuniwa kwa muislamu kumuuliza muislamu mwenzake juu ya chakula alichomletea?
Jibu: Msingi juu ya chakula cha muislamu ni kwamba ni halali. Lakini akitia shaka juu ya chumo lake au akamtuhumu kutoitakasa dini yake na hayo yakatambulika na kuhifadhiwa kutoka kwake, basi katika hali hiyo muulize na hakuna kikwazo. Vinginevyo msingi ni kwamba chakula cha muislamu ni halali.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Kariym bin ´Abdillaah al-Khudhwayr
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://saif.af.org.sa/sites/default/files/fatwa4.mp3
Imechapishwa: 16/09/2022
https://firqatunnajia.com/kumuuliza-muislamu-juu-ya-uhalali-wa-chakula-chake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)