Swali: Mwanamke akiwa ni mtumzima sana na amekwishaondokwa na akili. Je, inafaa kwa wanawake wakati wa haja kutazama uchi wake kwa ajili ya kumsafisha?
Jibu: Hapana. Waweke kitu juu ya uchi wake, waingize mikono yao chini ya kitu hicho chenye kufunika na kumsafisha. Ni lazima kufunika uchi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
- Imechapishwa: 06/05/2019
Swali: Mwanamke akiwa ni mtumzima sana na amekwishaondokwa na akili. Je, inafaa kwa wanawake wakati wa haja kutazama uchi wake kwa ajili ya kumsafisha?
Jibu: Hapana. Waweke kitu juu ya uchi wake, waingize mikono yao chini ya kitu hicho chenye kufunika na kumsafisha. Ni lazima kufunika uchi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (97) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igatha26-02-1440-h.mp3
Imechapishwa: 06/05/2019
https://firqatunnajia.com/kumuosha-mzee/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)