Swali: Ikiwa nataka kutembelea kaburi la mama yangu au baba yangu na sijui mahala maalum ambapo kaburi lipo, inatosheleza kwenda makaburini na kumuombea?
Jibu: Unaweza kumuombea hata kama hukwenda makaburini. Ikiwa hukujua kaburi lake ili uliendee na kusimama mbele yake, muombee ilihali uko nyumbani kwako au mahala popote na hakuna haja ya kwenda makaburini.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo--1430-11-6.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2014