Swali 818: Ni ipi hukumu ya kumuoa mwanamke wa Ahl-ul-Kitaab ikiwa baba yake sio Ahl-ul-Kitaab?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba haikushurutishwa kufaa kumuoa mwanamke wa Ahl-ul-Kitaab mpaka baba yake awe Ahl-ul-Kitaab. Kinachozingatiwa ni yeye mwanamke mwenyewe. Isitoshe hili ndio chaguo la Shaykh Taqiyy-ud-Diyn [Ibn Taymiyyah] (Rahimahu Allaah).
- Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 323
- Imechapishwa: 21/07/2019
Swali 818: Ni ipi hukumu ya kumuoa mwanamke wa Ahl-ul-Kitaab ikiwa baba yake sio Ahl-ul-Kitaab?
Jibu: Maoni sahihi ni kwamba haikushurutishwa kufaa kumuoa mwanamke wa Ahl-ul-Kitaab mpaka baba yake awe Ahl-ul-Kitaab. Kinachozingatiwa ni yeye mwanamke mwenyewe. Isitoshe hili ndio chaguo la Shaykh Taqiyy-ud-Diyn [Ibn Taymiyyah] (Rahimahu Allaah).
Mhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 323
Imechapishwa: 21/07/2019
https://firqatunnajia.com/kumuoa-mwanamke-wa-ahl-ul-kitaab-ambaye-baba-yake-ni-mpagani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)