Swali: Kaka yangu akimtaliki mke wake baada ya kuzaa watoto. Je, nina haki ya kumuoa?
Jibu: Kaka yako akimtaliki na akamaliza kukaa eda yake na hakuna kati yenu chuki, basi itafaa na hakuna neno.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/هل-يجوز-الزواج-من-زوجة-الأخ؟
- Imechapishwa: 18/06/2022
Swali: Kaka yangu akimtaliki mke wake baada ya kuzaa watoto. Je, nina haki ya kumuoa?
Jibu: Kaka yako akimtaliki na akamaliza kukaa eda yake na hakuna kati yenu chuki, basi itafaa na hakuna neno.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/هل-يجوز-الزواج-من-زوجة-الأخ؟
Imechapishwa: 18/06/2022
https://firqatunnajia.com/kumuoa-mke-aliyeachwa-na-mdogo-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)