Swali: Inajuzu kwangu kumswalia maiti swalah ya naafilah kisha kujaalia thawabu zake kumwendea yeye?
Jibu: Hakuna yeyote anayemswalia mwengine. Hakuna yeyote anayemswalia mwengine sawa awe hai au ameshakufa. Swalah ya ni kitendo cha kimwili na wala haichukui nafasi ya mwengine. Kama anataka kumnufaisha maiti amuombee du´aa, amtolee swadaqah, amuhijie au amfanyie ´Umrah. Kuna matendo yanayomwendea maiti ikiwa Allaah atayakubali.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Swali: Inajuzu kwangu kumswalia maiti swalah ya naafilah kisha kujaalia thawabu zake kumwendea yeye?
Jibu: Hakuna yeyote anayemswalia mwengine. Hakuna yeyote anayemswalia mwengine sawa awe hai au ameshakufa. Swalah ya ni kitendo cha kimwili na wala haichukui nafasi ya mwengine. Kama anataka kumnufaisha maiti amuombee du´aa, amtolee swadaqah, amuhijie au amfanyie ´Umrah. Kuna matendo yanayomwendea maiti ikiwa Allaah atayakubali.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
Imechapishwa: 22/10/2017
https://firqatunnajia.com/kumtumia-maiti-thawabu-za-swalah-ya-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)