Swali: Ni ipi hukumu ya kumtolea salamu mtu ambaye nina mashaka juu ya Uislamu wake? Ni ipi hukumu ya kuwatolea salamu watoto wa makafiri na kuwabusu? Ni ipi hukumu ya kumtolea salamu mwendawazimu na watoto wa waislamu?
Jibu: Mtu akiwa katika mji wa waislamu amtolee salamu yule anayekutana naye. Isipokuwa tu akijua kuwa sio muislamu yeye asianze kumtolea salamu. Yeye akianza kumtolea salamu basi amjibu kwa kusema:
وعليك
“Juu yako pia.”
kama ilivyokuja katika Hadiyth.
Kuhusu kuwatolea salamu watoto wa makafiri na kuwabusu sijui chochote kuhusiana na hili.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
- Imechapishwa: 28/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kumtolea salamu mtu ambaye nina mashaka juu ya Uislamu wake? Ni ipi hukumu ya kuwatolea salamu watoto wa makafiri na kuwabusu? Ni ipi hukumu ya kumtolea salamu mwendawazimu na watoto wa waislamu?
Jibu: Mtu akiwa katika mji wa waislamu amtolee salamu yule anayekutana naye. Isipokuwa tu akijua kuwa sio muislamu yeye asianze kumtolea salamu. Yeye akianza kumtolea salamu basi amjibu kwa kusema:
وعليك
“Juu yako pia.”
kama ilivyokuja katika Hadiyth.
Kuhusu kuwatolea salamu watoto wa makafiri na kuwabusu sijui chochote kuhusiana na hili.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3
Imechapishwa: 28/04/2018
https://firqatunnajia.com/kumtolea-salamu-mtu-ambaye-nina-mashaka-ya-uislamu-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)