Swali: Je, inajuzu kumtakia rehema muislamu mtenda madhambi makubwa ambaye amekufa?
Jibu: Ndio, inajuzu kumtakia rehema na kumwombea du´aa ya msamaha. Ni kama ambavo anaswaliwa swalah ya jeneza akiwa ni mtenda madhambi na si kafiri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (06/395)
- Imechapishwa: 11/03/2021