Kumswalia mwanamke aliyekufa na hedhi msikitini

Swali: Je, mwanamke aliyekufa akiwa na hedh anaswaliwa msikitini?

Jibu: Ndio, hakuna neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaswalia wanawake msikitini na wala hakuuliza.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23555/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D8%B5%D9%84%D9%89-%D8%B9%D9%84%D9%89-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B1%D8%A7%D8%A9-%D8%A7%D9%84%D8%AD%D8%A7%D9%89%D8%B6-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B3%D8%AC%D8%AF-%D8%A7%D8%B0%D8%A7-%D9%85%D8%A7%D8%AA%D8%AA
  • Imechapishwa: 27/01/2019