Swali: Je, imamu akimtaja Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) inafaa kumswalia katikati ya Khutbah na kadhalika akimtaja Allaah tuseme “Subhaan Allaah”?

Jibu: Ndio, ikiwa utafanya hivo baina yako wewe na nafsi yako pasi n kunyanyua sauti ni sawa. Kwa sababu hii ni Dhikr. Hakuzingatiwi ni katika maneno ya watu. Hata ndani ya swalah hakupingani na swalah.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (06) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/433/433.mp3
  • Imechapishwa: 30/11/2018