Swali: Je, inajuzu kumkata shangazi yangu na kutoungana naye kwa sababu amemuozesha msichana wake kwa Raafidhwiy anayewatukana Maswahabah?
Jibu: Ikiwa amekusudia hili na wewe unajua hili na ulimshauri lakini hata hivyo hakukubali, hakuna shaka yoyote ya kwamba ni wajibu kwako kumkata na kujitenga naye mpaka atapotubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Huku ni kususa kwa haki. Kumsusa mwenye kufanya maasi ikiwa hakutekeleza na hakukubali ni jambo limewekwa katika Shari´ah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus al-Masjid al-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 04/04/2018
Swali: Je, inajuzu kumkata shangazi yangu na kutoungana naye kwa sababu amemuozesha msichana wake kwa Raafidhwiy anayewatukana Maswahabah?
Jibu: Ikiwa amekusudia hili na wewe unajua hili na ulimshauri lakini hata hivyo hakukubali, hakuna shaka yoyote ya kwamba ni wajibu kwako kumkata na kujitenga naye mpaka atapotubu kwa Allaah (´Azza wa Jall). Huku ni kususa kwa haki. Kumsusa mwenye kufanya maasi ikiwa hakutekeleza na hakukubali ni jambo limewekwa katika Shari´ah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus al-Masjid al-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
Imechapishwa: 04/04/2018
https://firqatunnajia.com/kumsusa-shangazi-ambaye-amewaoza-raafidhwah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)