Swali: Je, kumpenda mke myahudi au mnaswara kunapingana na imani?

Jibu: Haya ni mapenzi ya kimaumbile na sio mapenzi ya ki-´ibaadah. Haya ni mapenzi ya kimaumbile, kama ambavo unavopenda mali, wazazi wako na watoto. Haya ni mapenzi ya kimaumbile na ambayo mtu hachukuliwi kwayo.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
  • Imechapishwa: 01/11/2018