Swali: Je, kuogopa kupatwa na kijicho kunapingana na kumtegemea Allaah?
Jibu: Hapana, hakupingani kwa sababu ni sababu ilio wazi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kijicho ni haki. Kama kuna kitu chenye kuitangulia Qadar basi kijicho kingeitangulia.”
Hii ni Hadiyth Swahiyh. Kijicho ni haki. Allaah amewaumba baadhi ya watu na macho ya namna hiyo. Baadhi ya watu macho yao yana sumu, hivyo ndivyo alivyosema Ibn-ul-Qayyim. Wanawasibu wengine kwa kijicho. Wanapowatazama wengine wanawaathiri.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2017
Swali: Je, kuogopa kupatwa na kijicho kunapingana na kumtegemea Allaah?
Jibu: Hapana, hakupingani kwa sababu ni sababu ilio wazi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kijicho ni haki. Kama kuna kitu chenye kuitangulia Qadar basi kijicho kingeitangulia.”
Hii ni Hadiyth Swahiyh. Kijicho ni haki. Allaah amewaumba baadhi ya watu na macho ya namna hiyo. Baadhi ya watu macho yao yana sumu, hivyo ndivyo alivyosema Ibn-ul-Qayyim. Wanawasibu wengine kwa kijicho. Wanapowatazama wengine wanawaathiri.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 10/09/2017
https://firqatunnajia.com/kumpata-mtu-kwa-kijicho-ni-jambo-kweli-lipo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)