Swali: Je, inafaa kwangu kupeana mkono na dadake mke wangu, kukaa naye chemba na mengineyo kwa sababu najua kuwa ni Mahram yangu?
Jibu: Haijuzu kwako kupeana mkono na dadake mke wako wala kukaa naye chemba. Sio katika Mahaarim zako. Ni wa kando nawe. Hali yake ni kama wanawake wengine wote katika jambo hilo. Jihadhari kuchukulia wepesi na kuzama katika jambo hilo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/حكم-مصافحة-أخت-الزوجة
- Imechapishwa: 12/06/2022
Swali: Je, inafaa kwangu kupeana mkono na dadake mke wangu, kukaa naye chemba na mengineyo kwa sababu najua kuwa ni Mahram yangu?
Jibu: Haijuzu kwako kupeana mkono na dadake mke wako wala kukaa naye chemba. Sio katika Mahaarim zako. Ni wa kando nawe. Hali yake ni kama wanawake wengine wote katika jambo hilo. Jihadhari kuchukulia wepesi na kuzama katika jambo hilo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/حكم-مصافحة-أخت-الزوجة
Imechapishwa: 12/06/2022
https://firqatunnajia.com/kumpa-mkono-na-kukaa-chemba-na-dadake-mke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)