Swali: Je, inafaa kuwakodishia maduka watenda maasi akiwemo mnyoa ndevu na mwenye kuacha swalah?
Jibu: Haifai kuwakodishia makafiri. Miongoni mwao ni manaswara, wanaotambulika kwa shirki kama vile mabudha na mfano wao. Kuhusu muislamu mtenda dhambi inafaa kumkodishia. Lakini ukiwapata wema ndio bora. Kuhusu kumkodishia ambaye atafanya maasi ndani yake, kwa mfano ambaye atafanya kazi yake humo ni saluni ya kuwanyoa watu ndevu, kazi za ribaa, kuuza pombe na madawa ya kulevya, ni jambo lisilofaa. Kwa sababu kufanya hivo ni kuwasaidia juu ya dhambi na uadui.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4843/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%AA%D8%A7%D8%AC%D9%8A%D8%B1-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AD%D9%84%D8%A7%D8%AA-%D9%84%D8%A7%D8%B5%D8%AD%D8%A7%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B9%D8%A7%D8%B5%D9%8A
- Imechapishwa: 22/11/2020
Swali: Je, inafaa kuwakodishia maduka watenda maasi akiwemo mnyoa ndevu na mwenye kuacha swalah?
Jibu: Haifai kuwakodishia makafiri. Miongoni mwao ni manaswara, wanaotambulika kwa shirki kama vile mabudha na mfano wao. Kuhusu muislamu mtenda dhambi inafaa kumkodishia. Lakini ukiwapata wema ndio bora. Kuhusu kumkodishia ambaye atafanya maasi ndani yake, kwa mfano ambaye atafanya kazi yake humo ni saluni ya kuwanyoa watu ndevu, kazi za ribaa, kuuza pombe na madawa ya kulevya, ni jambo lisilofaa. Kwa sababu kufanya hivo ni kuwasaidia juu ya dhambi na uadui.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/4843/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%AA%D8%A7%D8%AC%D9%8A%D8%B1-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%AD%D9%84%D8%A7%D8%AA-%D9%84%D8%A7%D8%B5%D8%AD%D8%A7%D8%A8-%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B9%D8%A7%D8%B5%D9%8A
Imechapishwa: 22/11/2020
https://firqatunnajia.com/kumkodishia-nyumba-mtenda-madhambi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)