Swali: Inajuzu kwangu kumkatalia kijana mwenye kuhifadhi swalah na mwenye dini ambaye amekuja kunichumbia lakini hata hivyo natafuta kijana mwengine ambaye ni mkamilifu zaidi katika dini na akili kuliko kijana huyu?
Jibu: Haijuzu kwa mtu kuiacha fursa pale anapoipata. Pindi mtu anapopata mtu mwenye tabia na dini nzuri asimwache kwa ajili ya kutafuta mwengine ambaye ni mbora zaidi. Hili ni kwa sababu unayotaka heunda usiyapate khaswa pale ambapo mwanamke anakuwa ameshakuwa mkubwa. Katika hali hii haifai kwake kabisa kumpuuza yule aliyemchumbia. Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) amesema:
“Atapokujieni yule ambaye mnaridhia kwake dini na tabia yake muozeni.”
Aolewe ikiwa mchumba huyo? kunaridhiwa kwake dini na tabia yake. Asisubirie kitu ambacho hajui huenda kikatokea kweli au kisitokee.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (12)
- Imechapishwa: 27/05/2017
Swali: Inajuzu kwangu kumkatalia kijana mwenye kuhifadhi swalah na mwenye dini ambaye amekuja kunichumbia lakini hata hivyo natafuta kijana mwengine ambaye ni mkamilifu zaidi katika dini na akili kuliko kijana huyu?
Jibu: Haijuzu kwa mtu kuiacha fursa pale anapoipata. Pindi mtu anapopata mtu mwenye tabia na dini nzuri asimwache kwa ajili ya kutafuta mwengine ambaye ni mbora zaidi. Hili ni kwa sababu unayotaka heunda usiyapate khaswa pale ambapo mwanamke anakuwa ameshakuwa mkubwa. Katika hali hii haifai kwake kabisa kumpuuza yule aliyemchumbia. Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) amesema:
“Atapokujieni yule ambaye mnaridhia kwake dini na tabia yake muozeni.”
Aolewe ikiwa mchumba huyo? kunaridhiwa kwake dini na tabia yake. Asisubirie kitu ambacho hajui huenda kikatokea kweli au kisitokee.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (12)
Imechapishwa: 27/05/2017
https://firqatunnajia.com/kumkataa-mchumba-mwenye-dini-kwa-kutarajia-mwengine-aliye-bora-zaidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)