Swali: Mimi nafanya kazi kwenye duka la madawa. Wakati anapokuja mteja na kuniomba dawa fulani ni lazima kwangu kumjuza kwamba zipo dawa mfano wake ambazo ni bei nafuu kuliko hiyo aliyoomba?
Jibu: Mpe hiyo aliyoomba. Kama yuko na cheti kutoka kwa daktari basi mpe dawa hiyo. Lakini akiwa hana cheti kutoka kwa daktari basi usimpe. Kwa sababu pengine ikamdhuru pasi na yeye kujua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18365
- Imechapishwa: 11/06/2021
Swali: Mimi nafanya kazi kwenye duka la madawa. Wakati anapokuja mteja na kuniomba dawa fulani ni lazima kwangu kumjuza kwamba zipo dawa mfano wake ambazo ni bei nafuu kuliko hiyo aliyoomba?
Jibu: Mpe hiyo aliyoomba. Kama yuko na cheti kutoka kwa daktari basi mpe dawa hiyo. Lakini akiwa hana cheti kutoka kwa daktari basi usimpe. Kwa sababu pengine ikamdhuru pasi na yeye kujua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18365
Imechapishwa: 11/06/2021
https://firqatunnajia.com/kumjuza-mteja-kwamba-kuna-bidhaa-ya-bei-nafuu-kidogo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)